Sunday, April 2, 2023
Thursday, March 16, 2023
Wednesday, March 15, 2023
Tuesday, February 28, 2023
WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA MAFUNZO YA KAMATI YA UONGOZI NA MAKAMU WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE TUNGUU, ZANZIBAR
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Spika wa Bunge,
Mhe. Dkt. Tulia Ackson kabla ya kufungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu
Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akifungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Kulia ni Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Rashid Hadidi
Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akitoa neno la
kumkaribisha mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kamati ya uongozi na
Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge uliofanyika leo tarehe 28
Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Kulia ni
Wajumbe wa Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu wakishiriki katika ufunguzi wa mafunzo ya kamati hizo zilizofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge mara baada ya kufungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Waliokaa Kulia kwake ni Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc (kulia), Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Riziki Lulida (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Rashid Hadidi
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Ofisi ya Bunge mara baada ya kufungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Waliokaa Kulia kwake ni Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc (kulia), Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Riziki Lulida (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Rashid Hadidi
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Spika wa
Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson kabla ya kufungua mafunzo ya kamati ya
uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo
tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar
Monday, February 27, 2023
SPIKA DKT. TULIA AONGOZA MAFUNZO YA KAMATI YA UONGOZI NA MAKAMU WENYEVITI WA KAMATI ZA BUNGE
Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uongozi, Mhe. Dkt.
Tulia Ackson akiongoza mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa
Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi
ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar
Spika wa Baraza la Wawakilishi
Zanzibar, Mhe. Zubeir Ali Maulid akitoa neno la ukaribisho kwa Wajumbe wakati
wa mafunzo ya Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za
Bunge yaliyofanyika leo tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu,
Zanzibar, Katikati ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Kamati ya Bunge ya Uongozi, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na Spika Mstaafu wa Bunge
la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anne Makinda
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc akitoa neno la utangulizi wakati wa mafunzo ya Kamati ya
uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo
tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anne Makinda akitoa mada kuhusu Madaraka, Majukumu,
Mipaka ya Utendaji Kazi, Uzoefu na Changamoto katika Uendeshaji wa Kamati za
Bunge wakati wa mafunzo ya Kamati ya
uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo
tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar
Mkufunzi wa Mafunzo Kutoka Taasisi ya
Uongozi (Uongozi Institute), Ndg. Zuhura Muro akitoa mada kuhusu Uongozi wa
Kimkakati katika uendeshaji wa Shughuli za Bunge wakati wa mafunzo ya Kamati ya
uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo
tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar
Wajumbe wa Kamati ya uongozi
na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge wakiwa katika mafunzo kuhusu Madaraka,
Majukumu, Mipaka ya Utendaji Kazi, Uzoefu na Changamoto katika Uendeshaji wa
Kamati za Bunge na Uongozi wa Kimkakati katika uendeshaji wa Shughuli za Bunge yaliyofanyika
leo tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar

















