WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, April 27, 2022

SPIKA DKT. TULIA ASHIRIKI ZOEZI LA KUUAGA MWILI WA MHE. IRENE NDYAMKAMA

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akishiriki zoezi la kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa, Mhe. Irene Alex Ndyamkama leo Aprili 27, 2022 katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.


Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu akishiriki zoezi la kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa, Mhe. Irene Alex Ndyamkama leo Aprili 27, 2022 katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.


Katibu wa Bunge, Mhe. Nenelwa Mwihambi, ndc akishiriki zoezi la kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa, Mhe. Irene Alex Ndyamkama leo Aprili 27, 2022 katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.



 Waheshimiwa Wabunge wakishiriki zoezi la kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa, Mhe. Irene Alex Ndyamkama  leo Aprili 27, 2022 katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

Tuesday, April 5, 2022

SPIKA DKT. TULIA AFUNGUA MAFUNZO WAKATI WA KUWASILISHWA KWA TAARIFA JUU YA UCHAFUZI WA MTO MARA






Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akifungua Mafunzo wakati wa kuwasilishwa kwa taarifa juu ya kuchafuka kwa Mto Mara na Hatua zilizochukuliwa leo Aprili 5, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bunge Jijini Dodoma. Taarifa hiyo imewasilishwa na Kamati Maalum iliyoundwa na Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mhe. Seleman Jaffo. Kushoto ni Waziri Seleman Jaffo na Mwenyekiti wa Bunge, Mhe.  David Mwakiposa Kihenzile



Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akifungua Mafunzo wakati wa kuwasilishwa kwa taarifa juu ya kuchafuka kwa Mto Mara na Hatua zilizochukuliwa leo Aprili 5, 2022 mbele ya Waheshimiwa Wabunge katika Ukumbi wa Msekwa Bunge Jijini Dodoma. Kushoto ni Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mhe. Seleman Jaffo na Mwenyekiti wa Bunge, Mhe.  David Mwakiposa Kihenzile


 


 Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakishiriki Mafunzo wakati wa kuwasilishwa kwa taarifa juu ya kuchafuka kwa Mto Mara na Hatua zilizochukuliwa leo Aprili 5, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bunge Jijini Dodoma. Taarifa hiyo imewasilishwa na Kamati Maalum iliyoundwa na Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mhe. Seleman Jaffo


SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ALGERIA NCHINI


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) akizungumza na Balozi wa Algeria Nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal leo Aprili 5, 2022 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.



Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) akipokea zawadi kutoka kwa Balozi wa Algeria Nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal leo Aprili 5, 2022 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.


 

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Algeria Nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal leo Aprili 5, 2022 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.



Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) akiagana na Balozi wa Algeria Nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal leo Aprili 5, 2022 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

SPIKA DKT. TULIA AKIMUAPISHA MBUNGE WA KUTEULIWA MHE. SHAMSI VUAI NAHODHA


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akimuapisha Mbunge wa kuteuliwa, Mhe. Shamsi Vuai Nahodha leo Aprili 5, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.