WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, May 6, 2016

MHE ZUNGU KWA NIABA YA SPIKA WA BUNGE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU BETTY SARO

Baadhi ya Watumishi wa Bunge wakiaga mwili wa aliyekuwa Mtumishi mwenzao Marehemu Betty Saro
Naibu Katibu wa Bunge-Shughuli za Bunge, John Joel akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Mtumishi wa Bunge Marehemu Betty Saro

Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashililah akitoa heshima za mwisho kwa mwili aliyekuwa Mtumishi wa Bunge Marehemu Betty Saro.

Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti na Maktaba-Bunge Bi Justina Shauri akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Katibu Muhtasi wake Marehemu Betty Saro. Wengine katika picha ni Watumishi wa Bunge.

Mbunge wa Ilala Mhe Hassan Mussa Zungu akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya Spika wa Bunge wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mtumishi wa Bunge Marehemu Betty Saro.

Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashililah akisaini kitabu cha maombolezo wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mtumishi wa Bunge Marehemu Betty Saro.

No comments:

Post a Comment