![]() |
Mawaziri pamoja na Wabunge mbalimbali wakiimba wimbo kabla ya uzinduzi wa Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17-2020/21 kwenye ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma |
![]() |
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akipokea
Kitabu cha Mpango kutoka kwa Waziri Mkuu
Kassim Majaliwa mara baada ya uzinduzi wa Mpango huo katika ukumbi wa Chuo
cha Mipango mjini Dodoma.
|
![]() |
Mawaziri, Wabunge pamoja Viongozi mbalimbali wakiimba wimbo kabla ya uzinduzi wa Mpango
wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17-2020/21 kwenye
ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma
|
No comments:
Post a Comment