Thursday, August 18, 2016
Tuesday, August 16, 2016
MHE RAIS ALIPOENDA KUMJULIA HALI MHE. SPIKA
![]() |
|
Rais
wa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Spika wa Bunge Job Ndugai
nyumbani kwake Sala sala jijini Dar es Salaam alipokwenda kumjulia hali.
|
Thursday, August 4, 2016
SPIKA WA BUNGE MHE NDUGAI ALIPOTEMBELEWA NA VIONGOZI MBALIMBALI NYUMBANI KWAKE BAADA YA KUREJEA NCHINI KUTOKA INDIA
| Kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni Mhe Freeman Mbowe akizungumza na Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai alipomtembelea nyumbani kwake. |
| Spika wa Baraza la wawakilishi Zanzibar Mhe. Zubeir Ali Maulid akisalimiana na Spika wa Bunge alipomtembelea nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam. |
| Spika Mstaafu Mhe Anne Makinda akizungumza na Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai alipomtembelea nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam. |
| Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai katikati akizungumza na baadhi ya Wabunge waliomtembelea nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam |
Subscribe to:
Comments (Atom)



