WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, October 29, 2016

KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAPOKEA NA KUJADILI MAONI YA WADAU KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI 2016.

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mhe. Peter Serukamba akifafanua jambo mbele ya kamati hiyo katika kikao kilichofanyika leo Mjini Dodoma. Kulia kwake ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye na Kushoto kwake ni Katibu kamati wa Bunge Ndugu. Pamela Pallangyo
Mjumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mhe. Mussa Azzan Zungu akichangia jambo mbele ya Wajumbe wa kamati hiyo katika kikao kilichofanyika leo Mjini Dodoma.

Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii wakichambua maoni ya wadau katika Muswada wa Sheria za Huduma za Habari katika kikao kilichofanyika leo Mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment