WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, October 26, 2016

KAMATI YA LAAC YAFANYA MAHOJIANO NA HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA


  Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Mheshimiwa  Seif Gulamali akichangia katika Kikao cha Kamati hiyo leo Mjini Dodoma. Kamati ilikuwa ikiihoji Halmashauri ya Jiji la Arusha kuhusu hesabu za mwaka wa fedha 2014/15.


  Mweka Hazina wa Halmshauri ya Jiji la Arusha, Ponceano Kilumbi akijibu hoja za wabunge katika kikao cha Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) Mjini Dodoma, kulia ni Mkurugenzi wa Jiji hilo, Athumani Kihamia.



      Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC),  (mwenye shati jeupe) Mheshimiwa Vedasto Ngombale akizungumza jambo katika kikao cha Kamati hiyo leo Mjini Dodoma.Wa kwanza kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mheshimiwa  Abdalla Chikota.


No comments:

Post a Comment