WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, November 12, 2016

HATIMAYE MAREHEMU SITTA AZIKWA HUKO URAMBO HUKU, MHE SPIKA AKIUNGANA NA VIONGOZI WENGINE KATIKA MAZISHI HAYO

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Y. Ndugai akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Tabora Mhe Aggrey Mwanri mara baada ya kuwasili Mkoani humo kushiriki mazishi ya aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samuel Sitta.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Y. Ndugai akiwasili Nyumbani kwa aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samuel Sitta Urambo, Tabora kushiriki mazishi ya Spika huyo Mstaafu.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Y. Ndugai akimsabai Mama wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samwel Sitta, Hajjat Zuwena Fundikira.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Y. Ndugai akimsabai Mjane  aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samwel Sitta Mhe Magreth Sitta wakati wa mazishi wa Spika huyo Mstaafu.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Y. Ndugai akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samwel Sitta wakati wa mazishi wa Spika huyo Mstaafu.

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samwel Sitta wakati wa mazishi wa Spika huyo Mstaafu.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Y. Ndugai akitoa salama za rambirambi wakati wa mazishi wa  aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samwel Sitta

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai akiweka shada la maua katika Kaburi la aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samwel Sitta.

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson akiweka shada la maua katika Kaburi la aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samwel Sitta.

Jeneza lilobeba mwili wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa Marehemu Samuel John Sitta likitumbukizwa kaburini wakati wa mazishi yaliofanyika Urambo, Tabora.

No comments:

Post a Comment