WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, November 17, 2016

MAFUNZO KUHUSU TARATIBU ZA UNUNUZI KWA WAFANYAKAZI WA BUNGE

Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe Ndugu. Paul Nsimbila akitoa mafunzo kuhusu taratibu za Ununuzi  kwa Wakuu wa Idara, Wakuu wa Vitengo na Wajumbe wa Bodi ya Zabuni  katika semina iliyofanyika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma

Baadhi ya Wakuu wa Idara, Wakuu wa Vitengo wa Ofisi ya Bunge wakiwa katika semina kuhusu taratibu za ununuzi leo Mjini Dodoma

No comments:

Post a Comment