WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, January 21, 2017

KAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA YAKAGUA MRADI WA ILMIS

Mjumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Risala Kabongo akiomba kufafanuliwa jambo wakati Kamati hiyo ilipokuwa ikikagua mradi wa Kusimika Mfumo Unganishi wa Taarifa za Ardhi (ILSMIS) leo Jijini Dar es Salaam, kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati, Mheshimiwa Atashasta Nditiye, wengine ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angelina Mabula na wa kwanza kulia ni Mjumbe wa Kamati Mhe. Silafu Maufi

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii wakikagua mradi wa Kusimika Mfumo Unganishi wa Taarifa za Ardhi (ILSMIS) leo Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment