WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, January 20, 2017

KAMATI YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII YATEMBELEA WAKALA WA TAIFA WA UTAFITI WA NYUMBA BORA NA VIFAA VYA UJENZI

Mtaalamu kutoka Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba Bora na Vifaa vya Ujenzi  (NHBRA), Hussen  Mataka akiwaonyesha wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii viae vya kuezekea nyumba ambavyo ni matokeo ya utafiti wa Wakala huo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba Bora na Vifaa vya Ujenzi (NHBRA), Dk. Matiko Mturi akiwalezea wajumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii teknolojia ya kutengeneza matofali ya udongo imara na kwa gharama ndogo, kulia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.  Angelina Mabula na Mwenyekiti wa Kamati, Mhe.Atashista Nditiye.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii wakikagua vigae vilivyotengenezwa kwa udongo na  NHBRA.

No comments:

Post a Comment