WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, January 18, 2017

KAMATI YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII YATEMBELEA TAASISI YA UTAFITI WA MISITU

Wajumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii wakiangalia wadudu wanaoshambulia misitu wakati walipotembelea Taasisi ya Utafiti wa Misitu (TAFORI) iliyoko Mkoa wa Morogoro.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Magembe akitoa maelezo kwa Wajumbe wa Kamati Ardhi, Maliasili na Utalii kuhusiana na kifaa maalumu ambacho kinawezesha kutambua kama kuna moto kwenye msitu. Wajumbe hao jana walitembelea Taasisi ya Utafiti wa Misitu (TAFORI) iliyoko Mkoa wa Morogoro.

No comments:

Post a Comment