WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, March 30, 2017

KAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII YAENDELEA NA UCHAMBUZI WA BAJETI

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii  Mhe. Mary Chatanda na Mhe. Silafu Maufi wakifuatilia uwasilishwaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii katika kikao cha Kamati hiyo.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara yake kwa Mwaka wa Fedha 2016/17 pamoja na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka ujao wa fedha mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii.

No comments:

Post a Comment