WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, March 30, 2017

KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA YAJADILI BAJETI YA WIZARA YA MAMBO NDANI YA NCHI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mwigulu Nchemba akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara yake kwa mwaka 2016/17 pamoja na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka ujao wa fedha mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Balozi Adadi Rajabu.

Viongozi mbalimbali kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakifuatilia uwasilishwaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara hiyo ya kwa mwaka 2016/17 pamoja na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka ujao wa fedha mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama.

No comments:

Post a Comment