WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, May 16, 2017

MHE SPIKA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA PALESTINA NCHINI

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akizungumza na Balozi wa Palestina nchini Mhe. Hazem M.Shabat, ofisini kwake jijini Dar es Salaam.


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akimsikiliza  Balozi wa Palestina nchini Mhe. Hazem M.Shabat,  wakati alipozungumza naye ofisini kwake jijini Dar es Salaam.


 Mazungumzo yakiendelea

Balozi wa Palestina nchini Mhe. Hazem M.Shabat akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai wakati akimkabidhi barua Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

Balozi wa Palestina nchini Mhe. Hazem M.Shabat akimkabidhi Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai kitabu mara baada ya kuzungumza naye Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment