WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, July 6, 2017

SPIKA WA BUNGE APOKEA MSAADA WA MIFUKO MIA MBILI YA SEMENTI NA HUNDI YA SH. MILIONI 15 KUTOKA BENKI YA CRDB TAWI LA DODOMA KWA AJILI YA UJENZI WA NYUMBA ZA WALIMU, WILAYANI KOGWA, DODOMA.


Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai  (katikati) akipokea   hudi ya shilingi  milioni 15 na msaada wa  Mifuko mia mbili (200) ya sementi kutoka   kwa Mkurugenzi wa CRDB Benki Tawi la Dodoma Ndg. Rehema Hamisi  (kushoto) waliotoa ili kusaidia ujenzi wa nyumba za Walimu  wa Shule ya sekondari Laikala iliyopo Wilayani Kogwa, Dodoma wengine katika picha ni wafanyakazi wa Benki hiyo tawi la Dodoma


Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (katikati) akionyesha  hudi ya shilingi  milioni 15 aliyokabidhiwa na Mkurugenzi wa CRDB Benki Tawi la Dodoma Ndg. Rehema Hamisi (kushoto) alipokuwa wanatoa msaada wa ujenzi wa nyumba za Walimu  wa Shule ya sekondari Laikala iliyopo Kogwa, Dodoma kulia  ni Mkuu wa Shule hiyo Ndg. Msafiri Simon.


Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akizungumza mara baada ya kukabidhiwa    hudi ya shilingi  milioni 15 na Mkurugenzi wa CRDB Benki Tawi la Dodoma Ndg. Rehema Hamisi alipokuwa wanatoa msaada wa ujenzi wa nyumba za Walimu  wa Shule ya sekondari Laikala, Kogwa, Dodoma. Walioshikilia hundi hiyo ni Wanafunzi wa shule hiyo


Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akizungumza na Walimu, Wanafunzi wa shule ya Laikala iliyopo Kogwa, Dodoma na wakazi Kata ya Saranga (hawapo pichani), mara baada ya kupokea msaada huo kushoto ni Mkurugenzi wa CRDB Benki Tawi la Dodoma Ndg. Rehema Hamisi na kulia Diwani wa kata ya Sagara Ndg. Simon Kamando.

No comments:

Post a Comment