WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, August 23, 2017

WAJUMBE WA CHAMA CHA WABUNGE WANAWAKE BUNGE LA TANZANIA WAKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAJUMBE WA CPA TAWI LA CANADA JIJINI DAR ES SALAAM

Mwenyekiti Chama cha Wabunge Wanawake Bungeni Mhe Magreth Sitta  (katikati) akiongoza kikao wakati Wajumbe wa Chama  hicho walipokutana na Wajumbe wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Tawi la Canada  katika Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam mapema leo.

 Mwenyekiti  wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Tawi la Canada  Mhe. Yasmin Ratansi (wa kwanza kulia) akizungumza  wakati Wajumbe wa Chama hicho kutoka Canada walipokutana na Wajumbe Chama cha Wabunge Wanawake katika Bunge la Tanzania  katika Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam mapema leo.
Mwenyekiti  wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Tawi la Canada  Mhe. Yasmin Ratansi (wa kwanza (kushoto) akisisitiza jambo mbele ya Wajumbe Chama cha Wabunge Wanawake katika Bunge la Tanzania mara baada ya mazungumzo katika Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam mapema leo.

  Wajumbe wa  Chama cha Wabunge Wanawake katika Bunge la Tanzania katika picha ya pamoja na Wajumbe wa   Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Tawi la Canada mara baada ya mazungumzo katika Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment