WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, October 31, 2017

KAMATI YA BUNGE YA VIWANDA, BIASHARA NA MAZINGIRA IKIWA KATIKA KIKAO MJINI DODOMA

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara 

na Mazingira Mheshimiwa Suleiman Ahmed Saddiq 

akifafanua jambo wakati Kamati hiyo ilipokutana na 

Watendaji wa Wizara ya Viwanda na Biashara  Mjini 

Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda  na Biashara,

 Profesa Elisante Ole Gabriel akijubu hoja mbalimbali 

za Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, 

Biashara na Mazingira wakati Kamati hiyo ilipokutana 

na Watendaji wa Wizara hiyo Mjini Dodoma.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara 

na Mazingira wakifuatilia kwa ukaribu maelezo ya

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara 

Profesa Elisante Ole Gabriel katika Kikao cha Kamati 

hiyo kilichofanyika Mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment