WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, October 23, 2017

RAIS DKT. MAGUFULI AMTUNUKU SPIKA NDUGAI CHETI NA KULIPONGEZA BUNGE KWA KUTUNGA SHERIA ZA KULINDA RASLIMALI ZA MADINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimtunuku Mke wa Spika Fatma Ndugai cheti cha Pongezi, Ikulu Jijini Dar es Salaam ambapo alipokea Cheti hicho kwa niaba ya Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimtunuku Mke wa Spika Fatma Ndugai cheti cha Pongezi, Ikulu Jijini Dar es Salaam ambapo alipokea Cheti hicho kwa niaba ya Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimtunuku Mke wa Spika Fatma Ndugai cheti cha Pongezi, Ikulu Jijini Dar es Salaam ambapo alipokea Cheti hicho kwa niaba ya Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipeana mkono na Katibu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai baada ya kumtunuku Cheti cha Pongezi (kupitia mke wake) Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai.

Mwenyekiti wa Bunge Mhe Mussa Azzan Zungu akizungumza Ikulu Jijini Dar es Salaam wakati wa kuwatunuku vyeti vya Shukrani Wajumbe wa Kamati Maalum ya Uchunguzi na Majadiliano kuhusu uchimbaji wa raslimali za Madini nchini.

No comments:

Post a Comment