WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, October 25, 2017

WAJUMBE WA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI WAKIWA KATIKA KIKAO MJINI DODOMA

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo Mjini Dodoma ambapo walikuwa wakipitia Taarifa ya ziara waliyoifanya Agosti mwaka huu katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara.

Mjumbe wa Kamati ya Bajeti, Mheshimiwa Ali Hassan King akichangia jambo katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Mjini Dodoma, kulia ni Mjumbe wa Kamati hiyo, Mheshimiwa Jerome Bwanausi.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Mheshimiwa Hawa Ghasia akiongoza kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Mjini Dodoma ambapo walikuwa wakipitia Taarifa ya ziara waliyoifanya Septemba mwaka huu katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara.


No comments:

Post a Comment