Wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) wakionyeshwa baadhi ya
vifaa vilivyonunuliwa kwa ajili ya
Karakana inayoendekea kujengwa na Mamlaka ya Ufundi Stadi (VETA) Mwanza.
|
Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), wakielekea kukagua Mradi ya ujenzi wa Karakana unaotekelezwa na Chuo
cha Mafunzo ya Ufundi VETA Mkoa wa Mwanza.
|
No comments:
Post a Comment