WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, April 18, 2018


Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na mgeni wake Mwenyekiti wa kamati ya urafiki baina ya Bunge la Tanzania na Iran, Mhe. Dkt. Ardeshir Noorian (wa pili kulia), Balozi wa Iran nchini Tanzania Mhe. Mousa Farhang (kulia) na Afisa kutoka ubalozi wa Iran nchini Tanzania Ndg. Maisara Ally (wa pili kushoto) walipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment