Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya
Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali
(PAC),wakifuatilia mada ya jinsi ya kujenga mtandao (Networking) kutoka kwa
Mkaguzi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Ndugu Rweyimamu katika semina inayofanyika
Mkoani Singida kwa ajili ya kuwajengea uwezo wajumbe hao.
|
No comments:
Post a Comment