WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, March 23, 2018

WAJUMBE WA KAMATI YA LAAC NA PAC WAKIWA KATIKA SEMINA YA KUJENGEWA UWEZO MKOA WA SINGIDA

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC),wakifuatilia mada ya jinsi ya kujenga mtandao (Networking) kutoka kwa Mkaguzi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Ndugu Rweyimamu katika semina inayofanyika Mkoani Singida kwa ajili ya kuwajengea uwezo wajumbe hao.

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC),wakifuatilia mada ya jinsi ya kujenga mtandao (Networking) kutoka kwa Mkaguzi wa ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Ndugu Rweyimamu katika semina inayofanyika Mkoani Singida kwa ajili ya kuwajengea uwezo wajumbe hao.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mheshimiwa Naghenjwa Kaboyoka akizungumza katika semina ya wajumbe wa Kamati hiyo na wajumbe Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), semina inayofanyika Mkoani Singida imeandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NOAT) kwa lengo la kuwajengea uwezo wajumbe hao.Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya LAAC MheshimiwaVedasto Ngombale na kulia ni Ndugu Rweyimamu  kutoka  NOAT

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mheshimiwa Naghenjwa Kaboyoka akizungumza katika semina ya wajumbe wa Kamati hiyo na Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), semina inayofanyika Mkoani Singida imeandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kwa lengo la kuwajengea uwezo wajumbe hao.


No comments:

Post a Comment