WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, March 21, 2018

WAJUMBE WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA LAAC NA PAC WAENDELEA NA MAFUNZO YA KUJENGEWA UWEZO KATIKA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI MKOANI SINGIDA

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC),wakifuatilia mada kuhusu  ukaguzi wa ufanisi kutoka kwa Mkaguzi wa ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Ndugu Jmaes Pilly katika semina iliyofanyika Mkoani Singida kwa ajili ya kuwajengea uwezo wajumbe hao.

Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC),wakifuatilia mada kuhusu  ukaguzi wa ufanisi kutoka kwa Mkaguzi wa ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Ndugu Jmaes Pilly katika semina iliyofanyika Mkoani Singida kwa ajili ya kuwajengea uwezo wajumbe hao.


Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), wakiwa katika picha ya pamoja na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Profesa Mussa Assad.

 
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Profesa  Mussa Assad akisisitiza jambo katika semina kwa  Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) iliyofanyika Mkoani Singida ikiwa na lengo la kuwajengea uwezo wajumbe hao.

No comments:

Post a Comment