WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, March 22, 2018

NAIBU SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MAKAMU WA RAIS WA BUNGE LA VIETNAM PAMOJA NA UJUMBE WAKE JIJINI DAR ES SALAAM.



Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Tulia Ackson akizungumza na Ujumbe wa Wabunge toka Bunge la Jamhuri ya Kisoshalisti ya Vietnam ukiogozwa na Makamu wa Rais wa Bunge hilo Mhe. Phung Ouoc Hien. Mazungumzo hayo yamefanyika mapema leo Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam wakati Wabunge hao walipofanya ziara ya Kibunge yenye lengo lakukuza uhusiano baina ya pande zote mbili.



Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Tulia Ackson wa (kwanza kushoto) akizungumza na Ujumbe wa Wabunge toka Bunge la Jamhuri ya Kisoshalisti ya Vietnam ukiogozwa na Makamu wa Rais wa Bunge hilo Mhe. Phung Ouoc Hien (wa nne toka  kulia).



Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Tulia Ackson akipokea zawadi toka kwa Makamu wa Rais wa Bunge la Jamhuri ya Kisoshalisti ya Vietnam Mhe. Phung Ouoc Hien mara baada ya mazungumzo Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam


Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Tulia Ackson (wa sita toka kulia) katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Wabunge toka Bunge la Jamhuri ya Kisoshalisti ya Vietnam ukiogozwa na Makamu wa Rais wa Bunge hilo Mhe. Phung Ouoc Hien  (wa kwanza kulia kwa Naibu Spika) mara baada ya mazungumzo Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment