Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali
za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC),wakifuatilia mada
kuhusu Mtazamo wa kikaguzi kutoka kwa
Mkaguzi wa ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Ndugu Athuman Mbuttuka katika semina
iliyofanyika Mkoani Singida kwa ajili ya kuwajengea uwezo wajumbe hao.
|
No comments:
Post a Comment