WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, May 29, 2018

NAIBU SPIKA AONGOZA WAHESHIMIWA WA BUNGE KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA BUYUNGU MAREHEMU KASUKU BILAGO

 Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza  wakati wa tukio la kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Buyungu Marehemu Mwl. Kasuku Bilago katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Mara baada ya tukio hilo mwili huo ulisafirishwa kwenda Wilayani Kakonko, Mkoani Kigoma kwa ajili ya mazishi.
 Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akitoa heshima za mwisho wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Buyungu Marehemu Mwl. Kasuku Bilago. Mara baada ya tukio hilo mwili huo ulisafirishwa kwenda Wilayani Kakonko, Mkoani Kigoma kwa ajili ya mazishi
 Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiweka shada la maua  wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Buyungu Marehemu Mwl. Kasuku Bilago. Mara baada ya tukio hilo mwili huo ulisafirishwa kwenda Wilayani Kakonko, Mkoani Kigoma kwa ajili ya mazishi

Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson  (wa pili kulia) akizungumza na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Mhe. Freeman Mbowe (wa pili kushoto), Mbunge wa Vunjo, Mhe. James Mbatia (kushoto) na Mbunge wa Bunda Mjini, Mhe. Esther Bulaya (kulia) wakati wakusafirisha mwili wa aliyekuwa  Mbunge wa Buyungu Marehemu Mwl. Kasuku Bilago katika Uwanja wa Ndege wa Jijini Dodoma

No comments:

Post a Comment