WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, May 30, 2018

SPIKA NDUGAI AFIKA KUWASABAI WAFIWA NA KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KATIKA MSIBA WA MAREHEMU KASUKU BILAGO.

 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Waombolezaji nyumbani kwa aliyekuwa Mbunge wa Buyungu alipofika kuwasabia wafiwa na kuaga mwili wa marehemu Mjini Kakonko, Mkoani Kigoma
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Buyungu alipofika kuwasabia wafiwa nyumbani kwa Marehemu Mjini Kakonko, Mkoani Kigoma
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akiwasabai watoto wa marahemu, Kasuku Bilago Wilayani kakonko Mkoani Kigoma
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto)akimfariji Mke wa marehemu Bi. Pietha Bisangwa Bilago leo Wilayani kakonko Mkoani Kigoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiteta jambo na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Mhe. Freeman Mbowe (kulia) nyumbani kwa aliyekuwa Mbunge wa Buyungu, marehemu Kasuku Bilago Wilayani kakonko Mkoani Kigoma.
Katibu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai  (katikati) akiteta jambo na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Mhe. Freeman Mbowe (kulia) na Mbunge wa Kigoma Mjini Mhe. Zitto Kabwe nyumbani kwa aliyekuwa Mbunge wa Buyungu, marehemu Kasuku Bilago Wilayani kakonko Mkoani Kigoma.
 Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia akizungumza kwa niaba ya Waziri Mkuu katika msiba huo
Mbunge wa Kasulu  Mjini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wabunge wanaotoka Mkoa wa Kigoma Mhe. Daniel Nsanzugwako akizungumza katika msiba huo. Kushoto kwake ni Mbunge wa Mbozi Mhe. Pascal Haonga ambaye alikuwa rafiki wa karibu na marehemu wakati akiwa Katibu wa Chama cha Walimu Wilayani Mbozi.

No comments:

Post a Comment