WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, May 16, 2018

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA MKUU WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na mgeni wake Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. 


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza mgeni wake Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo (kulia) alipomtembelea na kufanya nae mazungumzo leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.


No comments:

Post a Comment