WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, May 10, 2018

SPIKA NDUGAI ALIPOKUTANA NA WALIOKUWA WANAFUNZI WENZAKE ALIPOKUWA AKISOMA SHULE YA SEKONDARI KIBAHA



Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana  na waliokuwa Wanafunzi wenzake wakati anasoma Shule ya Sekondari Kibaha, Mkoani Pwani walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Anayesalimiana na Mhe. Spika ni Ndg. Sadiki Alli na wengine kutoka kushoto ni Ndg. Jackson Kalikumtima, Eng. Hussein Mzara na Ndg. David Mchaina.



Spika wa Bunge  akizungumza na waliokuwa Wanafunzi wenzake wakati anasoma Shule ya Sekondari Kibaha, Mkoani Pwani walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wa kwanza kushoto kwa Mhe. Spika ni Ndg. Jackson Kalikumtima, Eng. Hussein Mzara, Ndg. Sadiki Alli na Ndg. David Mchaina.



Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akimsikiliza Ndg. Jackson Kalikumtima alipokuwa  akizungumza na waliokuwa Wanafunzi wenzake wakati akisoma Shule ya Sekondari Kibaha, Mkoani Pwani walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) katika picha ya pamoja na waliokuwa Wanafunzi wenzake wakati anasoma Shule ya Sekondari Kibaha, Mkoani Pwani walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wa kwanza kulia ni Ndg. Jackson Kalikumtima, Ndg. David Mchaina na kutoka kushoto ni Eng.Hussein Mzara na Ndg. Sadiki Alli.

No comments:

Post a Comment