WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, May 8, 2018

WAJUMBE WA KAMATI YA KATIBA NA SHERIA WAKUTANA NA WAJUMBE WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA NCHINI

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria wakizungumza na Wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa Nchini mapema leo katika ukumbi wa Pius Msekwa Jijini Dodoma.

Mwenyekiti  Baraza la Vyama vya Siasa Nchini Mhe. John Shibuda katikati akizungumza wakati wa kikao kati ya Wajumbe wa Baraza hilo na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria mapema leo katika ukumbi wa Pius Msekwa Jijini Dodoma.


Wajumbe wa Kamati ya Bunge wa Katiba na Sheria katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa Nchini mara baada ya mazungumzo  Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment