WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, August 27, 2018

KAMATI YA ARDHI NA MALIASILI YAKUTANA NA BODI YA UTALII

Mmoja wa wakilishi akitoa mada yake kwa wabunge kuhusu maoni waliyopendekeza kwa ajili ya kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na utalii.
Wajumbe mbalimbali wakiongozo na Naibu Katibu Mkuu wa Bodi ya Utalii ambao walifika mapema leo hii kuwakilisha maoni yao kwa kamati.
Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii Mheshimiwa Nape Nnauye akifungua kikao cha kupokea maoni ya wadau wa Bodi ya Utalii mapema leo hii.


Katibu Kamati wa Kamati ya  Ardhi na Maliasili, Ndg Gerald Magili akitoa utaratibu  kwa wafanyakazi wa Bodi ya Utalii ambao walikuja kutoa maoni yao kwa kamati mapema leo hii.

No comments:

Post a Comment