WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, August 25, 2018

KAMATI YAFANYA TATHMINI YA MPANGO KAZI



Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wake, Mheshimiwa Juma Nkamia wakiwa katika Kikao cha Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Kupokea Maoni ya Wadau mbalimbali kilichofanyika leo Jijini Dodoma.


Wajumbe wa amati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mheshimiwa Juma Nkamia alipokuwa akisisitiza jambo wakati wa Kikao cha Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Kupokea Maoni ya Wadau mbalimbali kilichofanyika leo Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment