WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, August 29, 2018

KAMATI YA BAJETI YAKUTANA IKIONGOZWA NA MWENYEKITI WAKE MHE. GEORGE SIMBACHAWENE


Kamati ya Bunge ya Bajeti ikiongozwa na Mwenyekiti wakeMhe. 

George Simbachawene ikiwa katika kikao cha Kamati leo katika 

Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.Kamati hiyo ilikuwa ikipitia na 

kuchambua Muswada wa Sheria ya Ubia baina ya Sekta yaUmma 

na Sekta Binafsi wa mwaka 2018 

Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti , Mhe. Goerge Simbachawene 

akiongoza Kikao cha Kamati hiyo kilichokutana leo  katika Ofisi 

za Bunge Jijini Dodoma., pembeni ni Makamu Mwenyekiti wa 

Kamati hiyo, Mhe. Mashimba Ndaki . Kamati hiyo ilikuwa 

ikipitia na kuchambua Muswada wa Sheria ya Ubia baina yaSekta 

ya Umma na Sekta Binafsi wa mwaka 2018 

Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti , Mhe. Goerge Simbachawene 

akisisitiza jambo katika Kikao cha Kamati hiyo kilichokutana leo  

katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma., pembeni ni Makamu 

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Mashimba Ndaki . Kamati 

hiyo ilikuwa ikipitia na kuchambua Muswada wa Sheria ya Ubia 

baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi wa mwaka 2018 

Kamati ya Bunge ya Bajeti ikiongozwa na Mwenyekiti wakeMhe. 
George Simbachawene ikiwa katika kikao cha Kamati leo katika 

Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.Kamati hiyo ilikuwa ikipitia na 

kuchambua Muswada wa Sheria ya Ubia baina ya Sekta ya 

Umma na Sekta Binafsi wa mwaka 2018 

No comments:

Post a Comment