WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, August 29, 2018

KAMATI YA NISHATI NA MADINI YAKUTANA NA WATENDAJI WA WIZARA YA NISHATI

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, wakiwa 
katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi ya 
Bunge Jijini Dodoma. Kamati hiyo leo ilikutana na watendaji wa 
Wizara ya Niishati wakiongozwa na Naibu Waziri, Mhe. Subira Mgalu.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, wakiwa 

katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi ya 

Bunge Jijini Dodoma. Kamati hiyo leo ilikutana na watendaji wa 

Wizara ya Niishati wakiongozwa na Naibu Waziri, Mhe. Subira Mgalu.

Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati, Mhe. Subira Mgalu akiwa na 

watendaji wake katika Kikao cha Kamati ya Bunge ya Nishati 

kilichofanyika leo Jijini Dodoma. Kamati hiyo leo ilikuwa 

inapokea taarifa ya wizara hiyo kuhusu maendeleo nachangamoto 

za uendelezaji wa migodi ya makaa ya mawe nchini na taarifa 

kuhusu uwekezaji katika madini ya kimkakati.


No comments:

Post a Comment