WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, August 31, 2018

KAMATI YA BAJETI YATEMBELEA VIWANDA SINGIDA

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mheshimiwa George Simbachawene wakifuatilia Uwasilishwaji wa Taarifa ya utekelezaji wa kazi za Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogo vidogo (Sido) Mkoa wa Singida kwa kipindi cha mwaka 2016 hadi Juni 2018 katika ziara ya Kamati hiyo iliyoanza hii leo Mkoani humo.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mheshimiwa George Simbachawene wakikagua maeneo mbalimbali ya hatua za uzalishaji katika kiwanda cha Mafuta ya Alizeti cha Mount Meru kilichopo Mjini Singida, Kamati hiyo ipo katika ziara ya kutembelea Viwanda mbalimbali Mkoani humo.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti wakiashuhudia bidhaa ya mafuta ya Alizeti iliyo tayari kwa ajili ya kupelekwa sokoni walipotembelea Kiwanda cha Mount Meru kilichopo Mjini Singida hii leo.Kamati hiyo ipo katika ziara yake Mkoani Singida.

No comments:

Post a Comment