WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, August 31, 2018

KAMATI YA LAAC YAANZA ZIARA MKOANI MOROGORO

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Stephen Kebwe akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa (LAAC) baada ya Kamati hiyo kumtembelea ofisini kwake leo. Kamati hiyo iko ziara Mkoani Morogoro.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Mhe. Vedasto Ngombale akizungumza na wajumbe wa kamati hiyo na watendaji wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro. kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Stephen Kebwe na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa LAAC, Mhe. Abdallah Chikota. Kamati hiyo ilikwenda kumtembelea Mkuu wa Mkoa kabla ya kuanza ziara yake ya kikazi mkoani humo


Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Stephen Kabwe na watendaji mbalimbali wa Mkoa huo.kamati hiyo ilikwenda kumtembelea Mkuu wa Mkoa kabla ya kuanza ziara yake ya kikazi mkoani humo


No comments:

Post a Comment