WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, September 11, 2018

WABUNGE WANAWAKE WAPEWA SEMINA YA UONGOZI JIJINI DODOMA

Mtoa Mada kwenye Semina ya masuala ya Uongozi kwa Wabunge Wanawake Ndg. Venance Shillingi kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe akifafanua jambo katika semina hiyo iliyofanyika hii leo kwenye Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.
Sehemu ya Wabunge Wanawake wakifuatilia kwa karibu maelezo kutoka kwa Mtoa Mada katika Semina ya masuala ya Uongozi iliyotolewa kwa Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania.
Katibu wa Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) Mheshimiwa Loresia Bukwimba akichangia jambo katika Semina ya masuala ya Uongozi iliyotolewa kwa Wabunge Wanawake kwenye Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma hii leo.

Mjumbe wa Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) Mheshimiwa Shally Raymond akichangia jambo katika Semina ya masuala ya Uongozi iliyotolewa kwa Wabunge Wanawake kwenye Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma hii leo.

No comments:

Post a Comment