WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, September 12, 2018

WAGENI KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI WAENDELEA KUTEMBELEA BUNGE

Maseneta kutoka Bunge la Ufaransa wakifuatilia Mjadala wa Bunge katika Kikao kilichoendelea hii leo Jijini Dodoma, kutoka kulia ni Mkuu wa msafara huo Seneta Ronan Dantec, Balozi wa Ufaransa nchini Mhe. Frederic Clavier, Seneta Cyril Pelleh pamoja na Seneta Bernard Jomier.

Sehemu ya Wanafunzi kutoka Shule ya Sekondari Jitegemee ya Jijini Dar es salaam wakifuatilia Mjadala wa Bunge katika Kikao cha Bunge kilichoendelea hii leo Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment