WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, October 31, 2018

KAMATI YA KATIBA NA SHERIA YAENDELEA NA VIKAO JIJINI DODOMA

    Naibu waziri wa Elimu,  Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi Mheshimiwa Tate William Ole-Nasha  akitoa Taarifa ya Wizara ya Wizara ya Katiba na Sheria kuhusu Mkakati wa Utekelezaji wa Majukumu ya Ofisi ya Taifa ya Mashtaka  mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Mheshimiwa Ole-Nasha alimuwakilisha Waziri wa Katriba na Sheria Prof. Paramagamba Kabudi.
 
   Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria wakimsikiliza Naibu waziri wa Elimu,  Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi Mheshimiwa Tate William Ole-Nasha  akitoa Taarifa ya Wizara ya Wizara ya Katiba na Sheria kuhusu Mkakati wa Utekelezaji wa Majukumu ya Ofisi ya Taifa ya Mashtaka leo katika Ofisi za Bunge, Jijini Dodoma.  

      Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria Mheshimiwa Najima Giga akifurahi jambo wakati kamati hiyo ilipokutana na Wizara ya Katiba na Sheria kupokea na kujadili  Taarifa ya Wizara ya Wizara hiyo kuhusu Mkakati wa Utekelezaji wa Majukumu ya Ofisi ya Taifa ya Mashtaka. Kushoto kwa Mheshimiwa Giga ni katibu wa Kamati hiyo Ndg. Kagisa.

No comments:

Post a Comment