WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, October 30, 2018

KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA YAKUTANA NA WIZARA YA ULINZI

Mwenyekiti wa Kamati ya ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mheshimiwa Mussa Azan Zungu akifuatilia uwasilishaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018  iliyowasilishwa na Meja Jenerali A. Bahati mbele ya Kamati Bungeni Jijini Dodoma

  Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mheshimiwa Hussein Alli Mwinyi na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt Florens Turuka  wakiwa mbele ya kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama wakati wizara hiyo ilipoenda kuwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018  pamoja na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019.

Wajumbe wa Kamati ya ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama  pamoja na  Watendaji wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa  wakifatilia uwasilishaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018  iliyowasilishwa na Meja Jenerali A. Bahati (hayupo pichani)  mbele ya Kamati Jijini Dodoma

   Wajumbe wa Kamati ya ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama  na Watendaji wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa  wakifatilia uwasilishaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018  iliyowasilishwa na Meja Jenerali A. Bahati mbele ya Kamati Bungeni Jijini Dodoma

No comments:

Post a Comment