WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, October 30, 2018

KAMATI YA MIUNDOMBINU YAPOKEA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA UJENZI WA SGR


Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mheshimiwa Selemani Moshi Kakoso ilyokutana na Shirika la Reli nchini TRC hii leo Jijini Dodoma na kupokea Taarifa ya Utekelezaji wa Ujenzi wa Reli ya mpya ya Kiwango cha Kimataifa (SGR).

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mheshimiwa Injinia Isack Aloyce Kamwelwe akifafanua jambo mbele ya Kamati ya Bunge ya Miundombinu ilipokutana na Shirika la Reli nchini TRC hii leo Jijini Dodoma na kupokea Taarifa ya Utekelezaji wa Ujenzi wa Reli ya mpya ya Kiwango cha Kimataifa (SGR).
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Mheshimiwa Selemani Moshi Kakoso akifafanua jambo mbele ya Kamati hiyo ilipokutana na Shirika la Reli nchini TRC hii leo Jijini Dodoma na kupokea Taarifa ya Utekelezaji wa Ujenzi wa Reli ya mpya ya Kiwango cha Kimataifa (SGR).

No comments:

Post a Comment