WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, January 15, 2019

PICHA ZA KIKAO CHA KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Mussa Zungu akiongoza kikao cha kamati hiyo killichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo walipokea na kujadili taarifa ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuhusu utekelezaji wa bajeti ya wizara hiyo kwa kipindi cha Julai mpaka Desemba mwaka 2018.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Kangi Lugola akiwa katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama killichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo wizara yake iliwasilisha taarifa ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuhusu utekelezaji wa bajeti ya wizara hiyo kwa kipindi cha Julai mpaka Desemba mwaka 2018.pembeni yake ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu.

 
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Mussa Zungu akiongoza kikao cha kamati hiyo killichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo walipokea na kujadili taarifa ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuhusu utekelezaji wa bajeti ya wizara hiyo kwa kipindi cha Julai mpaka Desemba mwaka 2018.

No comments:

Post a Comment