WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Sunday, January 20, 2019

VIONGOZI MBAMBALI VYA VYAMA VYA SIASA NCHINI WAJITOKEZA MBELE YA KAMATI YA KATIBA NA SHERIA KUTOA MAONI YAO KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA MAREKEBISHO YA SHERIA YA VYAMA VYA SIASA WA MWAKA 2018

Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa waliojitokeza kwa ajili ya kutoa maoni kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018 katika kikao cha Kamati ya Katiba na Sheria kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Wa kwanza mbele ni Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Mheshimiwa Jenista Mhagama akifuatilia mjadala wa kukusanya maoni ya wadau kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018 katika kikao cha Kamati ya Katiba na Sheria kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Katikati ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Mheshimiwa Stella Ikupa na Katibu Mkuu, Ndugu Maimuna Tarishi.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Mheshimiwa Jenista Mhagama akifuatilia mjadala wa kukusanya maoni ya wadau kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018 katika kikao cha Kamati ya Katiba na Sheria kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Katikati ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Mheshimiwa Stella Ikupa na Katibu Mkuu, Ndugu Maimuna Tarishi.

Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa waliojitokeza kwa ajili ya kutoa maoni kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018 katika kikao cha Kamati ya Katiba na Sheria kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Wa kwanza mbele ni Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, Mheshimiwa Mohammed Mchengelwa akizungumza katika kikao cha kamati kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodma maalum kwa ajili ya kupokea maoni ya wadau wa vyama siasa kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018. Wa kwanza kulia kwake ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo na wengine ni Makatibu wa Kamati.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Hamphrey Polepole akifuatilia mjadala wa kukusanya maoni ya wadau kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018 katika kikao cha Kamati ya Katiba na Sheria kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma

Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa waliojitokeza kwa ajili ya kutoa maoni kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018 katika kikao cha Kamati ya Katiba na Sheria kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Wa mwisho, kulia ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Dkt.Bashiru Ali.

Mbunge wa zamani, Ndugu Felix Mkosamali akiambatana na wadau wengine wa vyama vya siasa wajitokeza kutoa maoni kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018 katika kikao cha Kamati ya Katiba na Sheria kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. 

Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa waliojitokeza kwa ajili ya kutoa maoni kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018 katika kikao cha Kamati ya Katiba na Sheria kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Wa kwanza kulia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Vicent Mashinji na katikati ni Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Zanzibar, Ndugu Salum Mwalimu.

Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA), Ndugu Hashim Rungwe (katikati) akiwa ameambatana na viongozi wenzake wakiwa mbele ya Kamati ya Katiba na Sheria kwa ajili ya kutoa maoni kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018 katika kikao cha Kamati ya Katiba na Sheria kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. 

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Vicent Mashinji akitoa maoni maoni kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa wa mwaka 2018 katika kikao cha Kamati ya Katiba na Sheria kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment