WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, March 7, 2019

KAMATI YA BAJETI YATEMBELEA OFISI ZA TRA ARUSHA

 Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, wakiwa katika kikao cha pamoja na uongozi wa Mamalaka ya Mapato Tanzania (TRA)  Mkoa wa Arusha wakati Kamati hiyo ilipotembelea ofisi za Mamlaka hiyo na kupatiwa ufafanuzi wa masuala mbalimbali kuhusiana na jinsi Mfumo wa Stempu za Kielektroniki  (ETS) unavyofanya kazi.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti,Mhe George Simbachawene akizungumza katika kikao cha pamoja kati ya Kamati yake na uongozi wa Mamalaka ya Mapato Tanzania (TRA)  Mkoa wa Arusha wakati Kamati hiyo ilipotembelea ofisi za Mamlaka hiyo na kupatiwa ufafanuzi wa masuala mbalimbali kuhusiana na jinsi Mfumo wa Stempu za Kielektroniki  (ETS) unavyofanya kazi

No comments:

Post a Comment