WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, March 28, 2019

NAIBU SPIKA AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) KUHUSU DEMOKRASIA NA UTAWALA BORA

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akifungua kikao cha Tano cha Demokrasia na Utawala cha Baraza la Wabunge wa Mabunge ya Jumuiya ya nchi za Maziwa makuu (FP-ICGLR) kilichofanyika hii leo Jijini Arusha.

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa kikao cha Tano cha Demokrasia na Utawala bora cha Baraza la Wabunge wa Mabunge ya Jumuiya ya nchi za Maziwa makuu (FP-ICGLR) kilichofanyika hii leo Jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment