WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, March 4, 2019

WAJUMBE WA KAMATI YA BAJETI WAANZA ZIARA MKOANI ARUSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Mrisho Gambo akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti ofisini kwake wakati Kamati hiyo ilipomtembelea kabla ya kuanza ziara yake katika Mkoa huo.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Mrisho Gambo wakati Kamati hiyo ilipomtembelea ofisini kwake kabla ya kuanza ziara yake katika Mkoa huo.

No comments:

Post a Comment