WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, April 3, 2019

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA VIONGOZI WA MAJUKWAA YA HABARI

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akiongea jambo na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahahriri Tanzania Ndg. Deodatus Balile alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma hii leo. 


Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akiongea jambo na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahahriri Tanzania Ndg. Deodatus Balile pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Kimataifa ya Habari (IPI) Ndg. Hadija Patel walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma hii leo. 

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akiwa katiika picha ya pamoja na ujumbe kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Habari (IPI) na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Ofisini kwake Jijini Dodoma hii leo. 

No comments:

Post a Comment