WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, May 23, 2019

BALOZI WA USWISI NCHINI AFIKA OFISINI KWA MHE. SPIKA KUMUAGA

 Balozi wa Uswisi nchini Bi. Florence Tinguely Mattli (aliyesimama) akitambulishwa Bungeni na Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (hayupo pichani).  Balozi huyo alifika  Ofisini kwa Mhe. Spika kumuaga baada ya kumaliza muda wake.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akufurahi jambo wakati akizungumza na Balozi wa Uswisi nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwake kumuaga baada ya kumaliza muda wake .

 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akimueleza jambo Balozi wa Uswisi nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwake kumuaga baada ya kumaliza muda wake .

 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai katika picha ya pamoja na Balozi wa Uswisi nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwake kumuaga baada ya kumaliza muda wake. 

Katibu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai akisalimiana na Balozi wa Uswisi nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwa Mhe. Spika kumuaga baada ya kumaliza muda wake.

No comments:

Post a Comment