WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, May 23, 2019

KAMATI YA PAC IKIWA KATIKA KIKAO BUNGENI JIJINI DODOMA


Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Naghenjwa Kaboyoka na Makamu Mwenyekiti, Mhe. Aeshi Hilal wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Naghenjwa Kaboyoka na Makamu Mwenyekiti, Mhe. Aeshi Hilal wakiwa kaitika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Angella Mabula akiwa katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC)kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma

No comments:

Post a Comment